Posts

Showing posts from November 5, 2016

NAMNA YA KUKABILIANA NA MAWAZO YATOKANAYO NA HOFU.

Image
HamasikaLeo Habari za uzima ndugu msomaji wangu. Bado tuna endelea na harakati zetu za kujifunza namna ya kutumia uwezo wetu wote tulionao kufanya mambo duniani. Leo tujikite kwenye swala zima la  mawazo na hofu katika mchakamchaka wa kufukuzana na maendeleo ya mtu  kuanzia kwenye mawazo ya kila siku. Ni kanuni ya maisha ya kila binadamu kuwaza, shida inakuja pale mawazo yako yanapotawaliwa na hofu, na wakati mwingine kushindwa kutofautisha wazo linalotokana na hofu au Lisilo la hofu. Wengi tunaamua kuishi tu maisha yaendelee. Kama muda wote unawaza kiasi gani maisha yalivyo magumu kwako, muda wote utahisi kuwa wewe mi maskini kuliko wote. Hofu ya maisha na kujiona hujafanikiwa hakupelekei mambo mazuri kukujia. Kama unataka kubadilisha maisha yako, badili namna unavyofikiri....na vile unavyosema kwa sauti mbele ya watu. Je, unayowaza na kusema yanatokana na nini? Ni muhimu kufahamu kuwa haijarishi ni kiasi gani tatizo lako ni kubwa, ni kwa kiwango gani tatizo lim...